Home Uncategorized BAADA YA KUMTANGAZA MAKAME, YANGA YATUMA UJUMBE WA TAHADHARI SIMBA

BAADA YA KUMTANGAZA MAKAME, YANGA YATUMA UJUMBE WA TAHADHARI SIMBA

Kutoka Young Africans

Salamu za pole zifike kwa timu yoyote itakayokaa mbele yetu: tutashambulia ‘kiroho mbaya’, ukiweka ugoko tunaweka chuma, tukitoa bunduki tunaingiza bomu.

Abdulaziz Makame, karibu Yanga, hongera kwa kujiunga na Mabingwa wa kihistoria.

SOMA NA HII  HIVI NDIVYO NYOTA WA POLISI TANZANIA ANAVYOLINDA KIPAJI CHAKE WAKATI HUU WA MAPUMZIKO