Uncategorized

NYOTA MWINGINE YANGA ACHOMOLEWA MAZIMA

admin July 7, 2019 12:17 am

PIUS Buswita mshambuliaji wa zamani wa kikosi cha Yanga ambaye amepigwa chini kwa sasa amewekwa kwenye rada za timu ya Kagera Sugar na Polisi Tanzania.


Kagera Sugar chini ya kocha Mecky Maxime kwa sasa inaendelea kujisuka upya ambapo tayari imeanza kazi ya kusajili mashine kali kwa msimu ujao ikiwa ni pamoja na Awesu Awesu, Evarigitius Mujwahuki na imemuongezea mkataba beki Juma Nyosso.

Habari zimeeleza kuwa tayari kwa sasa wameanza mazungumzo na mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga na ameshapewa mkataba anachosubiriwa ni yeye kumwaga wino.

Kocha wa Kagera Sugar, Maxime amesema kuwa bado mipango inaendelea hivyo mambo yakiwa sawa kila kitu kitakuwa hadharani.
GADIEL MICHAEL: NASAINI SIMBA JUMLA USAJILI: MRITHI WA GADIEL MICHAEL YANGA MARCELO ASAINI MIAKA MITATU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply