Uncategorized

MANCHESTER UNITED KUMKOSA BAILLY KWA MUDA WA MIEZI MITANO

admin July 31, 2019 6:48 am

OLE Gunnars Solskajer, Meneja wa Manchester United amethibitisha kuwa beki wake kisiki Erick Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi minne mpaka mitano.

Bailly alipata majeraha hayo kwenye mchezo wa kirafiki wa michuano ya ICC dhidi ya Totthenham wiki iliyopita wakati United ikishinda kwa mabao 2-1.

Nyota huyo mwenye miaka 25 atakuwa chini ya uangalizi wa madaktari mpaka pale atakaporejea kwenye ubora wake.

KAMBI YA SIMBA YAVUNJWA AFRIKA KUSINI KOCHA TANZANITE: TUNAKWENDA KUPEPERUSHA BENDERA YA TAIFA AFRIKA KUSINI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply