Home Uncategorized BOURNEMOUTH WAJANJA KWELI, WAIPA ARSENAL WINGA KWA HESABU

BOURNEMOUTH WAJANJA KWELI, WAIPA ARSENAL WINGA KWA HESABU

RYAN Fraser winga wa Bournemouth huenda akatua ndani ya kikosi cha Arsenal kwa ajili ya matumizi ya msimu ujao.

Mkataba wa winga huyo mwenye umri wa miaka 25 unatarajiwa kuisha mwishoni mwa msimu ujao.

Bournemouth wamepiga hesabu na kuona bora wamuuze kwa sasa kuliko msimu ujao ambapo wanaweza wasiambulie kitu kwa kumuacha akiwa mchezaji huru mwakani.

SOMA NA HII  SIMBA YAAGIZA GPS ZA WACHEZAJI, LENGO KUWAFUATILIA KILA HATUA