Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Ndayiragije Etienne amemteua Mshambuliaji John Bocco kuwa nahodha wa timu ya Taifa kwa wachezaji wa Ndani,akisaidiwa na Juma Kaseja, Kelvin Yondan na Erasto Nyoni.
Taifa Stars inajindaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya Jumapili Julai 28 Uwanja wa Taifa.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.