Home Uncategorized DUH MESSI CHAPA NYINGINE AMFUNIKA CR 7, NEYMAR KWA MKWANJA

DUH MESSI CHAPA NYINGINE AMFUNIKA CR 7, NEYMAR KWA MKWANJA

LIONEL Messi mshambuliaji wa Barcelona inayoshiriki La Liga yeye anaongoza kwa kukunja mkwanja mrefu kuliko wengine wanaopiga soka kwa sasa.

Kwa mwezi anakunja euro milioni 8.3 sawa na shilingi bilioni 21.3 kwa mwezi, hapo ni kabla ya kodi.

Cristiano Ronaldo kwenye Ligi ya Serie A yeye ni namba moja anakipiga Juventus, kwa mwezi anakunja euro 4,7 
shilingi bilioni 12.1 kwa mwezi ni kinara ndani ya Seria A.

Neymar Jr yupo Ligue 1 anakunja euro milioni 3.6 kwa mwezi sawa na shilingi bilioni 7.8.

SOMA NA HII  BREAKING:ISHU YA KAGERE KUDAIWA KUPIGANA NA SVEN UONGOZI WATOA TAMKO