Home Uncategorized EXCLUSIVE: SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA WATATU WA YANGA

EXCLUSIVE: SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA WATATU WA YANGA


GADIEL Michael sasa rasmi ni mchezaji wa Simba akitokea Yanga ambapo amesaini kandarasi ya miaka miwili.

Gadiel anaungana na wachezaji wenzake wawili na kufikisha jumla ya wachezaji watatu ambao wametoka Yanga.

Wengine ni Ibrahim Ajib ambaye alikuwa nahodha wa kikosi cha Yanga pamoja na Beno Kakolanya ambaye alikuwa ni mlinda mlango wote wamesaini kandarasi ya miaka miwili.

SOMA NA HII  HAMISSA: SIJAONA VIDEO YA DIAMOND - VIDEO