KOCHA wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa kwa sasa kikosi chake kina kazi kubwa ya kufanya kutimiza malengo yake kitaifa na kimataifa.
Simba kwa sasa ipo kambini nchini Afrika Kusini na imecheza mchezo mmoja wa kirafiki kwa ajili ya kusuka kikosi kipya dhidi ya Orbet Vet na imeshinda kwa mabao 4-0.
“Ni kazi kubwa na ngumu kuandaa kikosi hasa ukizingatia kwamba kazi yetu ni kusuka kikosi kipya ambacho kitakuwa na muunganiko mzuri.
“Kuna kazi kubwa ambayo tunapaswa kuifanya na kwa kuanza tunaunga muunganiko utakaosaidia kuwa na kikosi imara,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.