UONGOZI wa KMC umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo chanya mbele ya TP Mazembe kwenye mchezo wa pili wa michuano ya Kagame.
Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Anwar Binde amesema kuwa wamejipanga kwa ajili ya mchezo wa kupata matokeo.
“Mchezo wetu wa kwanza tulikubali sare haikuwa mpango wetu ila ni matokeo, leo tutapambana kufanya vema hivyo mashabiki wetu wazidi kutupa sapoti,” amesema.
TP Mazembe mchezo wa kwanza alipoteza mbele ya Rayon Sports kwa kufungwa bao 1-0 na KMC ililazimasha sare ya kufungana bao 1-1 na Atlabara FC bao pekee la KMC lilifungwa na Salim Aiyee.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.