JURGEN Klopp, Meneja wa Liverpool amesema kuwa msimu ujao utakuwa mgumu kwa timu zote kutokana kila mmoja kujipanga.
Klopp amesema kuwa msimu uliopita alikwama kubeba ubingwa kutokana na makosa ambayo tuliyafannya mwanzo.
“Hatukufanya vibaya licha ya kuukosa ubingwa ambao umekwenda kwa Manchester City, wachezaji walipambana ila mwisho wa siku lazima mshindi apatikane.
“Kwa sasa ninaangalia namna kikosi changu kitakavyokuwa bora na kuleta ushindani, tuna matumaini ya kufanya vizuri,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.