KLABU za Mwadui FC, Kagera Sugar na Ndanda FC zipo vitani kwa ajili ya kupata saini ya kiungo Abdallah Seseme.
Kiungo huyo bado timu yake ya Mwadui inahitaji huduma yake hali inayofanya kuwe na mvutano mkubwa kuipata saini ya nyota huyo.
Kocha wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa mpango mkubwa wa kikosi chake ni kuboresha kikosi na kukifanya kiwe cha ushindani.
“Hesabu kubwa kwa sasa ndani ya Kagera Sugar ni kusuka kikosi bora na chenye ushindani, mipango ikikamilika kila kitu kitakuwa wazi,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.