MARA ya mwisho, Simba na Azam FC zilimenyana kwenye mchezo wa ngao ya jamii Septemba 11, 2012 na Simba ikashinda mabao 3-2.
Simba imetwaa ngao ya jamii mara nne huku Yanga ikiwa imetwaa taji hilo mara tano.
Endapo itashinda Leo itaweka rekodi ya kutwaa Kombe hilo mara tatu mfululizo, ilianza 2017 mbele ya Yanga, 2018 mbele ya Mtibwa Sugar.
Leo itamenyana na Azam FC uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku, hivyo Simba wanataka rekodi mpya na Azam wanataka rekodi pia.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.