Home Uncategorized LIGI KUU BARA: AZAM FC 1-0 YANGA

LIGI KUU BARA: AZAM FC 1-0 YANGA


Dakika ya 60 Chirwa anachezewa rafu
Dakika ya 56 Ditram Nchimbi anaingia kuchukua nafasi ya Patrick Sibomana
Dakika ya 54 Mahundi anapeleka mashambulizi kwa Shikalo
Dakika ya 50 Chirwa anafanya jaribio halizai matunda
Dakika ya 48 Niyonzima anafanya yake kwa Azam kwa kuwachambua wachezaji kadhaa 
Dakika ya 47 Idd anafanya jaribio kwa Shikalo linakwenda nje 
Kipindi cha pili kimeanza Uwanja wa Taifa
HT:Azam FC 1-0 Yanga

OG: Ally Mtoni dakika ya 25

Zinaongezwa dakika 2

Mpira kwa sasa Uwanja wa Taifa ni kati ya Azam FC dhidi ya Yanga ikiwa ni kipindi cha kwanza.

Mtoni anajifunga bao dakika ya 25 katika harakati za kuokoa mpira uliopanguliwa na mlinda mlango, Farouk Shikalo baada ya kona kupigwa na Bruce Kangwa.

Obrey Chirwa dakika ya 23 alionyeshwa kadi ya njano.

Mpira unachezwa licha ya mvua kunyesha kwa sasa Uwanja wa Taifa.

SOMA NA HII  AZAM MEDIA YABORESHA HUDUMA,YAZINDUA KISIMBUSI CHA DIGITAL