Tanzania 3-0 Burundi
Goool : Aisha Masaka dakika ya 7 na 10
Goaal: Joyce Meshack dakika ya 33
Mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake U 17 dhidi ya Burundi unaendelea Uwanja wa Taifa.
Kwa sasa ni kipindi cha kwanza, mashabiki wamejitokeza kiasi chake uwanja wa Taifa kuipa sapoti timu ya Taifa, U 17.
Tanzania ipo mbele kwa mabao matatu yaliyopachikwa kimiani na Aisha Masaka 7 na 10 na la tatu limepachikwa kimiani na Joyce Meshack dakika ya 33.
Mchezo huu ni maalumu kwa ajili ya kuwania tiketi ya kufuzu kushiriki kombe la Dunia kwa Wanawake nchini India,2021.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.