JUVENTUS ya Cristiano Ronaldo ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Seria A baada ya kucheza jumla ya mechi 23.
Ronaldo ni kinara ndani ya Ligi hiyo kwa kupiga mashuti mengi yaliyolenga lango.
Amepiga jumla ya mashuti 48 ambayo yamelenga lango na timu yake imefunga jumla ya mabao 44.
Ipo nyuma ya Inter Milan ya Lukaku kwa tofauti ya mabao manne pekee kwani wote wana pointi 54.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.