MZAMIRU Yassin, kiungo wa Simba ameanza mazoezi ili kurejea uwanjani kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Yanga.
Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Januari 4 timu zote zilitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2.
Yassin akiwa na Simba kwenye mechi za Ligi Kuu Bara alihusika kwenye jumla ya pasi tatu za mabao ambapo mbili alimpa Meddie Kagere mwenye mabao 13 na moja alimpa Miraj Athuman mwenye mabao sita.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.