Uncategorized

BREAKING: LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA YASIMAMISHWA KWA MUDA

admin March 17, 2020 2:42 pm

LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na Serikali.

Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupambana na ugonjwa wa Corona.

TFF KUFANYA KIKAO CHA DHARURA KESHO KUJADILI MUSTAKABALI WA LIGI KUU BARA KISA CORONA HIVI HAPA VIGINGI 11 VYA YANGA MSIMU HUU WA 2019/20

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply