JAMES Maddisson kiungo anayekipiga ndani ya Leicester City saini yake imekuwa Lulu ghafla kwenye timu zinazoshiriki Ligi Kuu England.
Nyota huyo mwenye miaka 23 anakipiga pia kwenye Timu ya Taifa ya England.
Inaelezwa kuwa Manchester United imebadili gia angani ambapo awali ilikuwa inamtaka Jack Grealish nahodha wa Aston Villa mwenye miaka 24.
United imeanza kuyeyusha mipango ya kuinasa saini ya nahodha huyo wa Mbwana Samatta baada ya hivi karibuni kuhusika kwenye utovu wa nidhamu baada ya kukiuka sheria ya kubaki ndani.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.