Uncategorized

LEWANDOWSKI ALITUPIA MABAO 16 KWENYE MECHI 11 MFULULIZO BONGE MOJA YA REKODI

admin May 9, 2020 10:40 am


ROBERT Lewandowski, anayekipiga ndani ya Bayern Munich ni miongoni mwa washambuliaji mahiri duniani kwa sasa kwa kujenga ushkaji mkubwa na nyavu.

Nyota huyo amevunja rekodi kibao mfulululizo baada ya yeye mwenyewe kuziweka ndani ya uwanja katika mechi za Bundeslinga.

Alifunga mfululizo kwenye mechi 11 jambo ambalo ni nadra kutokea kwa washambuliaji ambapo safari yake ya kutupia ilianza Agosti 16 hadi Novemba 9,2019 ndani ya muda huo alitupia mabao 16.

Mechi yake ya mwisho kusitisha rekodi hiyo ilikuwa mbele ya Dusseldorf ambapo timu yake ilichapwa mabao 4-0.

YANGA WAOMBWA KUENDELEA KUPATA NAKALA YA JARIDA LAO DILI LA HUMUD KWENDA YANGA LIMEFIKIA HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply