DANI Olmo nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya RB Leipzig ya Ujerumani inatajwa kuwa anaweza kurejea ndani ya Klabu ya Barcelona.
Mchezaji huyo mwenye miaka 21 alisepa ndani ya Barcelona Januari 2020 na kuibukia ndani ya Bundesliga.
Alikuwa ndani ya kituo cha kukuza vipaji ndani ya Barcelona kinachoitwa La Masia akiwa na umri wa miaka tisa.
Kiungo huyo mshambuliaji alitua ndani ya Klabu ya RB Leipzig akitokea Klabu ya Dinamo Zagreb ambapo alicheza jumla ya mechi 80 na kutupia mabao 20.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.