Home Uncategorized YANGA YAWACHOMOA NYOTA WATATU KUTOKA SIMBA, WAINGIA JUMLAJUMLA KIKOSI CHA KWANZA NAMNA...

YANGA YAWACHOMOA NYOTA WATATU KUTOKA SIMBA, WAINGIA JUMLAJUMLA KIKOSI CHA KWANZA NAMNA HII

HARUNA Niyonzima kiungo mshambuliaji ndani ya Yanga iwapo angepewa nafasi ya kupanga kikosi cha kwanza angewachomoa nyota watatu kutoka Simba na kwenda nao sawa.

Hivi ndivyo ambavyo litakuwa kosi lake namna hii:- Kipa atakuwa Juma Kaseja wa KMC

Beki wa kulia; Juma Abdul wa Yanga

Beki wa kushoto: Mohamed Hussein wa Simba

Beki wa kati: Lamine Moro wa Yanga

Beki wa kati: Kelvin Yondani wa Yanga

Kiungo mkabaji: Said Ndemla wa Simba

Winga: Mapinduzi Balama wa Yanga.

Kiungo wa kati: Haruna Niyonzima

Mshambuliaji: Ditram Nchimbi wa Yanga.

Mshambuliaji:John Bocco wa Simba.

Winga: Bernard Morrison wa Yanga

SOMA NA HII  MMOJA TEGEMEO YANGA ANASWA AZAM