COASTAL Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imeshaanza kuyazoea mazingira ya Mwanza baada ya kutia timu rasmi tangu jana.
Leo, Juni 23 itashuka Uwanja wa Kirumba kusaka pointi tatu mbele ya Mbao FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Felix Minziro.
Mgunda amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo na watapambana kusaka pointi tatu.
Mchezo wake uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ilikubali sare ya bila kufungana huku Mbao FC ikitoka kupokea kichapo cha mabao 2-0 mbele ya Azam FC.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.