KIKOSI cha Simba leo kimeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Transit Camp kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mo Simba Arena uliopo Bunju.
Mabao ya Simba yalijazwa kimiani na Deo Kanda dakika ya tatu, Gerson Fraga dakika ya 15, Tairone Santos dakika ya 17 na Meddie Kagere dakika ya 46.
Kwa upande wa Transit Camp mabao mawili yalifungwa na Hamadi Habibu dakika ya 45 na Nisile Kisimba dakika ya 64.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.