DAVID Mwasa ambaye ni beki wa kati, leo Agosti 19 ametambulishwa ndani ya Klabu ya KMC kuwa mchezaji wao mpya kwa ajili ya msimu wa 2020/21.
Nyota huyo amesaini dili la miaka miwili ndani ya KMC akitokea Klabu ya Lipuli FC.
Lipuli imeshuka daraa hivyo msimu wa 2020/21 itashiriki Ligi Daraja la Kwanza.