HAWA hapa wametupia mabao mengi wakati Azam FC ilipomenyana na Yanga walipokutana ndani ya uwanja baada ya Azam FC inayonolewa na Aristica Cioba kwa sasa kupanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2008/09.
John Bocco (Azam FC) mabao 10 kwa sasa anakipiga ndani ya Simba.
Kipre Tchetche (Azam FC) mabao 5, kwa sasa yupo zake Kedah FA.
Didier Kavumbangu (Kotekote)
Alitupia mabao 5.
Mabao 3 (Akiwa Yanga alitupia mabao 2 akiwa Azam FC.
Hamis Kiiza (Yanga) alitupia mabao 4
Boniface Ambani (Yanga) alitupia mabao 4
Obrey Chirwa (Yanga) alitupia mabao 2
Ni wachezaji wawili tu ambao wameshawahi kufunga bao kwenye mechi baina ya timu hizi, na bado wapo hadi leo.
Salum Abubakary wa Azam FC, amefunga bao moja
Obrey Chirwa wa Yanga, amefunga mabao 2. Lakini naye kwa sasa yuko Azam FC.