Uncategorized

KISA HUJUMA, YANGA KUHAMISHIA MECHI ZAKE ARUSHA

admin December 2, 2020 4:47 pm



UONGOZI  wa yanga upo katika harakati za kuhamishia mechi zao zilizobaki za Ligi Kuu Tanzania Bara jijini Arusha baada ya kudai kubaini hujuma wanayofanyiwa Dar.


Habari za kutoka ndani ya Yanga zinasema wamekuwa wakishinda kwa tabu kunatokana na njama chafu zinazofanywa na wapinzani wao, zinazosababisha wachezaji kuchoka kabla ya dakika 90 kumalizika.


“Tunadhani kuna mtu yupo ndani yetu anatumiwa, tena inawezekana tupo naye kila siku na anajipenyeza hadi kambini Kigamboni.” kilisema chanzo chetu.

Alipotafutwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrik Mwakalebela hakuweza kuzungumzia suala hilo. 

HESABU ZA SIMBA MBELE YA WANAIGERIA ZIMECHORWA NAMNA HII BREAKING: NTIBANZOKIZA NYOTA MPYA WA YANGA ATUA BONGO LEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply