UWANJA wa Mkapa
Kipindi cha kwanza
Ligi ya Mabingwa Afrika
Simba 1-0 FC Platinum
Dakika ya 39 Nyoni Gooal
Dakika ya 32 Wachezaji wa FC Platinum wanaonekana kugombea maamuzi ya penalti
Dakika ya 31 Luis anachezewa faulo ndani ya 18 Simba wanapata penalti
Dakika ya 30 Luis anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 30 Rahaman anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Chama
Dakika ya 27 Luis anapiga kona inaokolewa na Tizayi anaanguka chini
Dakika 26 Luis anapiga kona ya Kwanza inaokolewa
Dakika ya 24 Chama anachezewa faulo nje ya 18 wanaanzisha mashambulizi
Dakika ya 23 Luis anachezewa faulo ndani ya 18 mwamuzi anapeta
Dakika ya 21 Manula anaokoa faulo ya FC Platinum
Dakika ya 19 Mugalu anaotea
Dakika ya 18 Percent Chikwende anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 17 FC Platinum wameweka ukuta wa kutosha unaipa tabu Simba kupenya
Dakika ya 15 Nyoni anapeleka kwa Chama,Kapombe,Ndemla,Nyoni
Dakika ya 12 FC Platinum wanapata kona
Dakika ya 11 Chama anapiga faulo kwa Ndemla anapiga shuti linatajwa na kipa Tizayi
Dakika ya 10 FC Platinum wanaonekana wakipoteza muda kwa kukaa chini kimtindo
Dakika ya 9 Chikwende anatafuta njia anazuiwa na Onyango
Dakika ya 8 lips Tizayi anaanza
Dakika ya 6 Luis na kipa wa FC Platinum wanapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 5 Kapombe anacheza faulo
Dakika ya 4 Percent Chikwende anacheza faulo
Dakika ya 2 Bwalya anapokwa mpira