Home Simba SC LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIMBA 1-0 AL AHLY

LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIMBA 1-0 AL AHLY

 


UWANJA wa Mkapa

Ligi ya Mabingwa Afrika,  hatua ya makundi


Simba 1-0 Al Ahly

Dakika ya 45 Kapombe anachezewa faulo 

Dakika ya 44 Al Ahly wanapata kona

Dakika ya 42 Manula anaokoa hatari

Dakika ya 40 Tshabalala anapiga shuti linakwenda nje kidogo ya lango

Dakika ya 39 Mugalu anafanya jaribio inakuwa kona

Dakika ya 38 Kapombe anafanya jaribio linaokolewa na mlinda mlango wa Al Ahly inakuwa kona

Dakika ya 37 Al Ahly wanapeleka mashambulizi Simba

Dakika ya 30 Goooooool Luis 

Dakika ya 28 Luis analazimisha kuingia na mpira ndani ya 18, Al Ahly wanaokoa

Dakika ya 26 Manula anaanzisha mashambulizi kwenda Al Ahly 

Mwamuzi anatoa dakika moja kwa ajili ya kunywa maji

Dakika ya 22, Bwalya Walter anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 20 Bwalya Walter anamchezea faulo Manula

Dakika ya 18 Simba wanaanzia nyuma kwa Tshabalala kuelekea mbele

Dakika ya 16 Al Ahly wanafanya jaribio linakwenda nje ya lango

Dakika ya 15 Luis anasepa nankijiji 

Dakika ya 14 Bwalya wa Al Ahly anamwaga maji lango la Manula, 

Dakika ya 13, Mugalu anaotea

Dakika ya 10 Mzamiru anapeleka mpira mbele unazuiwa na Al Ahly 

Dakika ya 8 mabeki wa Simba wanaruhusu moira uwapite, Manula anaokoa

Dakika ya 7 Al Ahly wanapata faulo nje kidogo ya 18

Dakika ya 5 Luis anachezewa faulo ndani ya 18

Dakika ya 3 Mugalu anapeleka mashambulizi Al Ahly 

Dakika ya 2 Manula anaqnzisha mashambulizi

SOMA NA HII  ROBERTINHO AFUNGUKA KUHUSU SIMBA ALIYEITENGENEZA ISHU IKO HIVI KWENYE MATAJI