Home Simba SC WAAMUZI WA SIMBA Vs Al MERRIKH HAWA HAPA

WAAMUZI WA SIMBA Vs Al MERRIKH HAWA HAPA


Waamuzi wanne ambao ni raia wa Afrika Kusini, ndiyo wamepewa dhamana ya kuamua mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba dhidi ya Al Merrikh.

Mchezo huo wa nne kwa timu hizo zilizo kwenye kundi A la michuano hiyo, utapigwa katika dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam Machi 16 yaani Jumanne ijayo.

Waamuzi hao ni;

Refa:Victoria Miguel Gomez

1: Zakhele Thusi Siwele

2: Athenkosi Ndongeni

3: Thando Ndzandzeko

Simba inaongoza msimamo wa kundi hilo, wakiwa tayari wamejikusanyia pointi saba katika michezo yao mitatu ambayo wamecheza mpaka sasa.

SOMA NA HII  KUELEKEA MECHI YA KESHO...MASHABIKI SIMBA NA YANGA WAPIGWA MKWARA WA KUFA MTU...POLISI WATANGAZA OLE KUU...