Home Azam FC AZAM FC YATOA REKODI YA MECHI ZAO PAMOJA NA WACHEZAJI WALIOFUNGA MBELE...

AZAM FC YATOA REKODI YA MECHI ZAO PAMOJA NA WACHEZAJI WALIOFUNGA MBELE YA YANGA, HII HAPA

 


LEO Aprili 25 Uwanja wa Mkapa majira ya saa 2:15 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa ushindani kati ya Yanga iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo na pointi 57 pamoja na Azam FC iliyo nafasi ya tatu na pointi 51.

Mchezo wa leo unakuwa ni wa 26 kwa timu hizi kukutana kwenye ligi ambapo ni Yanga imeshinda mara nyingi ikiwa ni 9 huku Azam ikiwa imeshinda mara 8, sare zilipatikana nane kwa timu zote ambapo kwa upande wa utupiaji timu zote zimefungana mabao 31.

Haya hapa ni matokeo ya Azam FC kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabiti pamoja na watupiaji wake:-

1. OKTOBA 15, 2008

Azam FC 1-3 Yanga

John Bocco 30′


2. APRILI 8, 2009 

Yanga SC 2-3 Azam FC

Yahaya Tumbo 54′ na 66′, Shaaban Kisiga 60′


3. OKTOBA 17, 2009

Azam FC 1-1 Yanga

John Bocco 60′


4. MACHI 7, 2010

Yanga 2-1 Azam FC

John Bocco 42′


5. OKTOBA 24, 2010

Azam FC 0-0 Yanga


6. MACHI 30, 2011

Yanga 2-1 Azam FC

John Bocco 2′.

.

7. SEPTEMBA 18, 2011

Azam FC 1-0 Yanga SC 

John Bocco 20′.

.

8. MACHI 10, 2012; 

Yanga SC 1-3 Azam FC

John Bocco 6′ na 76′. Michael Bolou 54′.

.

9. NOVEMBA 7, 2012

Azam FC 0-2 Yanga


10. FEBRUARI 23, 2013

Yanga 1-0 Azam FC


11. SEPTEMBA 23, 2013

Yanga 2-3 Azam FC

John Bocco 1′, Kipre Tchetche 69′ na Joseph Kimwaga 90′.

.

12. MACHI 19  2014

Azam FC 1-1 Yanga

Kelvin Friday 83′


13. DISEMBA 28, 2014

Yanga 2- 2 Azam FC

Didier Kavumbagu 5′, John Bocco 65′


14. MEI 6, 2015

Azam 2-1 Yanga

Bryson Rafael 14′, Agrey Moris 85′


15. OKTOBA 17, 2015

Yanga 1-1 Azam FC

Kipre Tchetche 82′.

.

16. MACHI 5, 2016

Azam FC 2-2 Yanga

Juma Abdul (OG) 11′, John Bocco 70′


17. OKTOBA 16, 2016

SOMA NA HII  SIRI HII YAVUJA...KUMBE DUBE NDIO SABABU...AZAM KUFUNGWA NA SIMBA

Azam FC 0-0 Yanga


18. APRILI 01, 2017

Yanga 1-0 Azam FC


19. JANUARI 27, 2018

Azam FC 1-2 Yanga

Shaaban Idd Chilunda 4′


20. MEI 28, 2018

Yanga 1-3 Azam FC

Azam FC : Yahaya Zayd 4′, Shaaban Idd Chilunda 60′, Salum Abubakary 60′.

.

21. APRILI 29, 2019

Azam FC 0-1 Yanga


22. MEI 28, 2019

Yanga 0-2 Azam FC

Danny Amoah 46′, Mudathir Yahya 50′


23. JANUARI 18, 2020

Azam FC 1-0 Yanga

Ally Mtoni (OG) 25


JUNI 21, 2020

Yanga 0-0 Azam FC


NOVEMBA 25, 2020

Azam FC 0-1 Yanga


MARAFIKI WA NYAVU ZA WANANCHI



1. John Bocco – 10

2. Kipre Tchetche – 2

3. Shaaban Idd Chilunda – 2

4. Yahya Tumbo – 2

5. Shaaban Kisiga – 1

6. Michael Bolou – 1

7. Yahya Zayd – 1

8. Joseph Kimwaga – 1

9. Mudathir Yahya – 1

10. Agrey Moris – 1

11. Didier Kabumbagu – 1

12. Danny Amoah – 1

13. Salum Abubakary – 1

14. Bryson Rafael – 1

15. Kelvin Friday – 1