Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize leo Aprili 23, 2021 ameachia video ya wimbo wake wa Attitude aliowashirikisha wwanamuziki wa Kongo, Awilo Longombana na msanii wa muziki wa Bongo Bolingo, Hamis Ramadhani maarufu kwa jina la H. Baba.
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize leo Aprili 23, 2021 ameachia video ya wimbo wake wa Attitude aliowashirikisha wwanamuziki wa Kongo, Awilo Longombana na msanii wa muziki wa Bongo Bolingo, Hamis Ramadhani maarufu kwa jina la H. Baba.