Home Ligi Kuu VPL: GWAMBINA FC 0-1 SIMBA

VPL: GWAMBINA FC 0-1 SIMBA

 


Uwanja wa Gwambina Complex 

Gwambina FC 0-0 Simba


Kipindi cha kwanza 

Zinaongezwa dakika 2

Dakika ya 45 Nonga anamchezea faulo Joash 

Dakika ya 41 Onyango anaanua majalo

Dakika ya 40 Kipa wa Gwambina anapewa huduma ya Kwanza 

Dakika ya 36 Kapombe anachezewa faulo 

Dakikabya 34 Mwanuke anapeleka majalo mbele anazuiwa na Tshabalala 

Dakika ya 33 Chama , Tshabalala,  Chama

Dakika ya 28 Tshabalala Goool

Dakika ya 26 Gwambina wanapeleka mashambulizi kwa Manula

Dakika ya 22 Bocco anafanya jaribio ndani ya 18 linaokolewa na Makaka

Dakika ya 18 Meshack Abraham anachezewa faulo na Nyoni

Dakika ya 17 Onyango anaanua hatari 

Dakika ya 11 Morrison anachezewa faulo 

Dakika ya 9, Nonga anafanya jaribio, Manula anaokoa

Dakika ya 7 Kapombe anamchezea faulo Meshack 

Dakika ya 6 Meshack Abraham mwenye mabao 8 anapeleka mashambulizi Simba

Dakika ya 5, Morrison anapeleka mashambulizi Gwambina


Dakika ya 4 Gwambina wanapata kona ya Kwanza iliyosababishwa na Paul Nonga mwenye mabao matano baada ya Onyango kuanua majalo

SOMA NA HII  MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII