MZEE wa utopolo shabiki wa Yanga ameweka wazi kwamba namba ambayo ameweka Haji Manara, Ofisa Habari wa Simba haipatikani kila anapopiga haipatikani, ameweka wazi kwamba yeye anaongea ukweli muda wote. Kwa wale ambao wanasema kwamba wana Yanga huwa anawaambia kwamba Yanga ni ya Wananchi.