SHABIKI wa Simba ambaye amekuja kwa mguu kutoka Kigoma Michael Filbert ambaye ametumia siku 15 kutembea na aliwasili Dar, Juni 21 amepewa mkwanja na mashabiki wa Simba
SHABIKI wa Simba ambaye amekuja kwa mguu kutoka Kigoma Michael Filbert ambaye ametumia siku 15 kutembea na aliwasili Dar, Juni 21 amepewa mkwanja na mashabiki wa Simba