IMEELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo kutoka Mali ambaye atakuja kufanya kazi na nyota mpya Peter Banda kwa msimu wa 2021/22.
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo kutoka Mali ambaye atakuja kufanya kazi na nyota mpya Peter Banda kwa msimu wa 2021/22.