LEO Agosti 3, Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) limeingia mkataba na Shirika la Utangazaji Tanzania, (TBC) kuhusu kurusha matangazo ya mpira wa miguu kwenye radio.
LEO Agosti 3, Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) limeingia mkataba na Shirika la Utangazaji Tanzania, (TBC) kuhusu kurusha matangazo ya mpira wa miguu kwenye radio.