Home video VIDEO:MAKAMBO AWATUIA UJUMBE SIMBA, APIGA HESABU ZA KUFUNGA

VIDEO:MAKAMBO AWATUIA UJUMBE SIMBA, APIGA HESABU ZA KUFUNGA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo amesema kuwa anauhakika wa kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara na atafunga kila anapopata nafasi. 


Nyota huyo aliibuka Yanga baada ya kusitisha mkataba wake na Horoya AC ya Guinea. Alicheza Yanga msimu wa 2017/18 kabla ya kusepa na kuibukia nchini Guinea. Amerejea Yanga na kusaini dili la miaka miwili.

 

SOMA NA HII  VIDEO: SHABIKI WA SIMBA ALIYETOKA MARA KWA MGUU AITABIRIA SIMBA USHINDI

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here