ILIKUWA ni furaha kwa Wananchi, Yanga baada ya kutwaa taji la Ngao ya Jamii kwa kuwa mwanzo mwisho walikuwa wakishangilia baada ya kuitungua Simba bao 1-0, wakati wa kugawa zawadi mashabiki wa Simba walikuwa wameshasepa eneo la tukio kitambo Uwanja wa Mkapa.