Home Azam FC PICHA ZA NDINGA MPYA YA AZAM FC

PICHA ZA NDINGA MPYA YA AZAM FC

 MATAIRI wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam F imetambulisha ndinga mpya moja matata sana kali mno.

Basi hilo jipya la Azam FC wao wanasema ni ndege ya ardhini, Marcedes Benz Irizar i6S Plus.

Cheki ilivyo muonekano wake acha kabisa.





SOMA NA HII  YANGA KWISHA HABARI YAKE...KOCHA MPYA SIMBA 'APEWA MKANDA' MZIMA...SASA MPANGO MPYA UKO HIVI...