MATAIRI wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam F imetambulisha ndinga mpya moja matata sana kali mno.
Basi hilo jipya la Azam FC wao wanasema ni ndege ya ardhini, Marcedes Benz Irizar i6S Plus.
Cheki ilivyo muonekano wake acha kabisa.
MATAIRI wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam F imetambulisha ndinga mpya moja matata sana kali mno.
Basi hilo jipya la Azam FC wao wanasema ni ndege ya ardhini, Marcedes Benz Irizar i6S Plus.
Cheki ilivyo muonekano wake acha kabisa.