Baba Levo anakwambia usichukulie Poa vitu vya Poa, akikukumbusha kuwa Ijumaa hii tutachill nae pamoja na dada ake kipenzi Shilole ndani ya kipindi cha Maskini Poa.
Tazama kipindi hiki kila siku za Ijumaa saa 3 usiku kupitia chaneli ya Maisha Magic Poa 144 inayopatikana kuanzia kifurushi cha Poa kwa 9,900/= tu ndani ya @dstvtanzania pekee.
Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi kifurushi chako ili usikose burudani hii.
#DStvEwaaaaah