Matokeo ya Simba
TAKWIMU ZA MECHI…YANGA SC VS REAL BAMAKO…SIMBA SC VS VIPERS FC
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa usahihi ni 301, Bamako pasi 350 na zilizofika kwa usahihi ni 261.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.