Habari za michezo

KWA TAARIFA YAKO SIMBA WAMESHAMPA THAN YOU KIYOMBO….MUDA WOWOTE ANATUA KATIKA KLABU HII

Staff Desk July 7, 2023 11:20 am

Klabu ya Simba tayari imeshampa “THANK YOU” Mshambuliaji wake raia wa Tanzania Habibu Kiyombo na kilichobaki ni kumtangaza tu.

Habibu alifanya vizuri 2021-22 akiwa na Mbeya Kwanza, ameshindwa kuwaburudisha Wanasimba 2022-23.

Kwa sasa Klabu zimeshaanza kupeleka ofa Kwa Mshambuliaji huyo , huku akikataa ofa ya Mashujaa FC iliyopanda ligi msimu huu Kwa kuwashusha Mbeya City.

Inaelezwa kuwa matamanio ya nyota ni kucheza Kimataifa na kwa sasa nyavu zake amezitupa Kwa Singida Fountain Gate FC ambapo Bado mazungumzo hayajaanza.

SIMBA WAMALIZA KILA KITU BONGO KABLA YA KUELEKEA UTURUKI SINGIDA FOUNTAIN GATE YABADILI GIA ANGANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply