Home Habari za michezo HAWA HAPA MASTAA WAKUBWA DUNIANI WALIOWAHI KUBEBA MTONYO NA SLOT YA POKER…

HAWA HAPA MASTAA WAKUBWA DUNIANI WALIOWAHI KUBEBA MTONYO NA SLOT YA POKER…

Meridianbet

Kama ulidhani ni wewe pekee unapenda sana kubeti na kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni hali inayokufanya kujiona bila kubeti maisha hayaenda, basi futa kabisa haupo mwenyewe kuna watu kubeti ni maisha yao na wengi wao ni mastaa wakubwa tu na wenye majina makubwa, wametajirika kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya ubashiri unayoipata Meridianbet kwa odds kubwa na sloti kibao.

Leo nakushushia mkeka wenye majina ya mastaa maarufu dunaiani wanaocheza kasino ya mtandaoni na kubeti soka na michezo mingi.

Ligi ya Kikapu Marekani- NBA

 Nyota wa NBA, Shaquille O’Neal anapenda michezo ya kasino ya mtandaoni kama ile inayopatikana Meridianbet kama Poker, Aviator, Roulette, Titan Dice nk, ni moja ya nyota wa kikapu anayependa sana Kamari yeye na wengine wengi kama vile Michael Jordan.

Staa Shaquille O’Neal, mmoja ya mchezaji bora katika historia ya mpira wa kikapu – aliyepewa jina la The Big Aristotle baada ya msimu wake mzuri wa 1999-2000 ambapo alipokea Tuzo ya Mchezaji Bora zaidi anayecheza kinouma kasino ya mtandaoni.

Shaq, mtu mkubwa, ana urefu wa futi 7 na inchi 1 alinukuliwa na CNN akisema “Napenda kamari…Nacheza kamari kwa sababu ni furaha.” Ana utajiri binafsi ambao ulifikia mamilioni ya dola, hazina ambayo ilifanya iwe rahisi kwake kupoteza $200,000 katika usiku mmoja wa kucheza kasino ya mtandaoni.

Charles Barkley

Staa wa Basketi Charles Barkley alistaafu kukipiga na Houston Rockets akiwa na rekodi ya All-Star ya NBA mara 11 akivuta mshahara wa dola milioni 9 kila mwaka (kabla ya udhamini na bonasi). Mwamba huyu anapenda sana kubeti na kucheza kasino ya mtandaoni kiasi kwamba alitenga kurasa kadhaa kuelelezea kamari katika kitabu chake, I May Be Wrong But I Doubt It.

Barkley alivutiwa na michezo ya kasino ya mtandaoni kwa sababu, kwake, ilikuwa njia nzuri ya kupumzika kutokana na uchovu wa michezo yake, kijamii na kujifurahisha na marafiki zake.

Ingawa kamari ilikuwa furaha kwake, yeye pia alikuwa mchezaji mkubwa ambaye inasemekana alipoteza hadi $30 milioni kwa kamari na simu za kasino. Hata hivyo, hajafichua kiasi alichoshinda; na udhamini mkubwa na mshahara wa matangazo ya mamilioni ya dola, Barkley (anayetambuliwa sana kama mchezaji mwenye nguvu wa NBA wa wakati wote) bado ana thamani ya mamilioni ya dola. 

Michael Jordan

Michael Jordan huenda alikuwa mchezaji bora wa mpira wa kikapu wa wakati wote, lakini nyota huyu wa Chicago Bulls alipenda kucheza sana kasino ya mtandaoni karibu sawa na kushinda mataji yake sita ya NBA na Bulls.

Ni mwenye ushindani mkubwa na pia mmoja wa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi katika michezo, Jordan alikuwa mchezaji mwenye dau kubwa linapokuja suala la kubashiri matokeo ya michezo, mara moja akidondosha $100,000 kwenye dau la Super Bowl ya 1996. Je wewe dau lako la mwisho kucheza Meridianbet lilikuwa ni shingapi? Tuambie kwenye comment.

Jordan anapenda michezo ya kasino ya mtandaoni haswa mchezo wa roulette ambapo unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unaweza kuucheza kwa kubonyeza hapa. 

Magwiji wa Manchester United Wanaopenda Kasino

Miongoni mwa wachezaji maarufu wa soka ambao wanacheza kamari ni nyota wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney na Christiano Ronaldo, ambao wote ni mashabiki wakubwa wa kasino ya mtandaoni. Ronaldo ana nidhamu binafsi na umakini ambao umemletea mafanikio makubwa kwenye mchezo wa poker unaopatikana Meridianbet, ambayo ni moja ya shughuli anazozipenda sana za burudani.

Rooney inasemekana alikusanya deni la kubashiri zaidi ya pauni 700,000 kwa mtoa dau wake kwa dau ambazo alishindwa kwenye mbio za mbwa na farasi (michezo hii pia unaipata Meridianbet kasino ya mtandaoni), pamoja na dau kwenye matokeo ya michezo ya soka ambayo alikosea kubashiri. Nakurejesha nyuma mpaka mwaka 2008, alipoteza takriban pauni 65,000 ndani ya masaa mawili katika mchezo wa mmoja wa kasino ya mtandaoni.

Zlatan Ibrahimovich

Mshambuliaji wa Sweden, Zlatan Ibrahimovich, lilikuwa ni pande la baba linalotisha uwanjani na alifunga magoli ya kushangaza, lakini pia alikuwa nyota katika michezo ya kasino ya mtandaoni. Zlatan alipenda sana kucheza mchezo wa poker kwa kuweka madau makubwa zaidi.

Kisha kuna mshambuliaji mwenye vituko vingi ndani ya uwanja hata nje, Mario Balotelli, ambaye naye anapenda michezo ya kasino na sloti za kijanja. Inasemekana ameshinda kiasi kikubwa sana kwenye mashine za sloti na amebashiri nambari sahihi katika mchezo wa roulette mara nyingi.

Mshambuliaji wa Brazil, Neymar, anafurahia kucheza poker na alishika nafasi ya sita katika Mashindano ya Poker nchini Brazil, akishinda $21,000. Pia alishiriki kwenye Mashindano ya Poker ya Ulaya ya 2015 na kucheza Hold’em Poker kwa dau la $10,000 katika Mashindano ya Poker ya Dunia ya 2022.

Mchezo wa Gofu

Mashujaa wakubwa katika gofu Tiger Woods (Majors 15) na Phil Mickelson (Majors 6) pia wanapenda kubashiri michezo, kuchezo kasino. Mickelson amewahi kubeti dau la $200,000 (ambalo alipoteza!).

Tiger Woods, ambaye anaweza kusemwa kuwa bingwa wa gofu wa ulimwengu, anajulikana kuwa mgeni wa kawaida katika kasino na anapenda sana kucheza kwa dau kubwa kwenye meza za blackjack mchezo karata unaopendwa Zaidi Meridianbet kasino ya mtandaoni.

 NB: Unajisajili Meridianbet unapewa bonasi ya mizunguko ya bure kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Jisajili na Cheza.

SOMA NA HII  SIMBA WAONA ISIWE TABU YAWARUHUSU MASTAA WAKE KUTUA HUKU