Azam FC
BANGALA SASA KUKIPIGA DHIDI YA YANGA AGOUST 9, CHEKI AKIJIFUA KAMBINI NA AZAM
KIUNGO wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Yanick Litombo Bangala Jana ameanza mazoezi katika klabi yake mpya, Azam FC Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam baada ya kusajiliwa kutoka Yanga.
ameanza majukumu yake Mapya baada ya kujiunga nao Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Klabu ya Yanga.
Azam wanajiandaa na mchezo wa mtoano wa Ngao ya Jamii utakapigwa Agosti 9 Jijini Tanga.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.