Habari za michezo
WALIOFUNGWA 6-0 NA SIMBA WAKANA KUCHEZA MECHI LEO…ISHU IKO HIVI KUMBE..
admin
September 9, 2023
8:18 pm
Timu ya Ngome kutoka kisiwani Unguja imekana kufungwa goli 6 na klabu ya Simba kama walivyochapisha kwenye Ukurasa wao wa instagram.
Akizungumza mchezaji wa timu hiyo @kibadeni_jr amesema:
“Hatujacheza mechi na Simba na sijui hizo taarifa zimetoka wapi, leo asubuhi tumefanya mazoezi katika uwanja wetu.
Sio Simba tu, hata KMC FC iliwahi kutoa chapisho ya kutufunga wakati sisi hatujacheza nao”.
Soma taarifa rasmi ya Klabu ya Ngome FC hapa chini, kisha tupe maoni yako.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.