Habari za SImba SC
Habari za michezo

CHAMA ALAMBA DILI LA KIBABE

Staff Desk September 25, 2023 4:49 pm

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama amesaini mkataba mpya wa binafsi na duka la vifaa vya michezo.

Chama amewaambia wafuasi wake kupitia Instagram kuwa anayo furaha kusaini mkataba huo.

“Nina furaha kuwajulisha kwamba nimesaini mkataba na @roby_sportswear ukiwa ni muendelezo wa ushirikiano wetu ambao tuliuanza miezi kadhaa iliyopita. Viatu vimekuwa ni sehemu muhimu kwenye utambulisho wangu, lakini pia kwa kila binadamu. Kwahiyo ushirikiano huu ni zaidi ya mimi kutangaza viatu tu, bali nitakuwa nafanya kitu ninachokipenda nje ya mpira.

Robby, endelea kutupendezesha ndugu yangu, sikukuu inakuja.”

KANOUTE HALIMBAYA, APUMZISHWE SIMBA, YANGA NI REKORI NA HESHIMA…… DAKIKA HIZI KUAMUA HUKUMU HII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply