Home Habari za michezo YANGA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA SIMBA DHIDI YA AL AHLY

YANGA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA SIMBA DHIDI YA AL AHLY

Habari za Simba leo

Timu ya Yanga SC imempa pole mtani wake wake wa jadi Simba SC baada ya kutolewa na Al Ahly ya nchini #Misri kwenye mashindano ya AFL.

Yanga imetoa pole hizo kupitia #comments katika chapisho la timu Simba SC, ikiandika kuwa “Pole sana mtani, hata sisi tulikosa Ubingwa wa Afrika kwa kanuni hiyohiyo”.

SOMA NA HII  AUBAMEYANG AKOSA FURAHA KISA KUKOSA KUTINGA HATUA YA 16 BORA EUROPA