Home Habari za michezo KANOUTE ATAMBA AFL AWEKA REKODI HII MPAKA SASA

KANOUTE ATAMBA AFL AWEKA REKODI HII MPAKA SASA

Habari za Simba

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Kibu Denis Prosper ndiye mchezaji pekee raia wa Tanzania aliyefunga goli kwenye michuano ya African Football League hadi hivi sasa.

Sadio Kanoute ni miongoni mwa wanaoongoza kwa kuwa na magoli mengi zaidi kwenye michuano ya African Football League.

1. Sadio Kanoute Goal 2

2. Kahraba Goal 2

3. Reda Sliman Goal 1

4. Marcelo Allende Goal 1

5. Kibu Denis Goal 1

6. Tabeho Maseko Goal 1.

SOMA NA HII  HAYO MAPOKEZI YA MAYELE HUKO MISRI, SIO POA UNAAMBIWA KAMA MFALME