Habari za Yanga
Habari za michezo

KUMBE ULIMWENGU ALIZICHOMOLEA SIMBA, YANGA ISHU IKO HIVI

Staff Desk November 14, 2023 11:14 am

Mshambuliaji wa Singida Fountain Gate, Thomas Ulimwengu, kupitia kwenye interview na television ya Mtandaoni ya Singida Fountain Gate, amewefunguka kuhusu sababu ya kujiunga na timu hiyo badala ya kwenda timu kubwa hapa nchini.

Ulimwengu (30) amejiunga na Singida FG mwanzo mwa mzimu huu akitokea TP Mazembe ya Congo DR ambayo ameitumikia kwa mafanikio makubwa.

“Nilizikataa ili nijiunge na Singida FG kwa sababu nilipokuwa nje nilikuwa naifuatilia na kuiona timu inayokua na kusogea juu na ndoto yangu ilikuwa kucheza klabu hiyo, ndiyo mana leo nimekuwa hapa,” amesema Ulimwengu.

BALAA ZITO NI KUSAKA USHINDI KWA NAMNA YEYOTE PHIRI KAMA UTANI ILA NDO ANAKUJA IVO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply